Mhe. Soraga amesema Serikali ya Zanzibar inahitaji sana kukamilisha mradi wa hospitali ya Binguni ili kutoa huduma bora kwa Wananchi.

Waziri wa Nchi Afisi ya Rais – Kazi Uchumi na Uwekezaji Mhe. Mudrik Ramadhan Soraga amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inahitaji sana kukamilika kwa mradi wa hospitali ya Binguni ili kutoa huduma bora na nafuu kwa Wananchi Ameyasmea hay oleo ofisini kwakwe mwanakwerekwe mjini unguja wakati akizungumza na wawekezaji wa kutoka kampuni ya MAZI